Fiston Mayele Mfungaji Bora Ligi ya MabingwaFiston Mayele Mfungaji Bora Ligi ya Mabingwa

FISTON MAYELE amemaliza mkataba wake na timu ya Pyramids na kwa taarifa za awali mchezaji huyo hatokuwepo kwenye kampeni za Pyramids msimu ujao.

Klabu ya Al Fateh inayoshiriki ligi kuu ya Saudi Arabia, imeweka nia ya kumsajili Mayele, na mipango hiyo imeshaanza, Muda wowote kuanzia sasa Fiston Mayele atasaini kandarasi na timu hiyo ya Saudi Arabia.

Inaelezwa kuwa uongozi wa Pyramids haujaridhishwa na maamuzi ya Mayele kwa kuwa bado wanahitaji huduma yake kama mshambuliaji.
.


Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!

GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!

BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD.

Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *