Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • GSM ameahidi kutoa Bilion 1 Endapo Klabu ya Yanga itafanikiwa Kuwafunga As Far Rabat
HABARI ZA MICHEZO

GSM ameahidi kutoa Bilion 1 Endapo Klabu ya Yanga itafanikiwa Kuwafunga As Far Rabat

February 7, 2026February 7, 2026 Udaku Special

Tajiri wa klabu ya Yanga Gharib Said Mohammed (GSM) ameahidi kutoa bilion 1 endapo klabu ya Yanga itafanikiwa kuwafunga As Far Rabat na kutinga hatua ya robo fainali siku ya leo.

Pesa hiyo imewekwa kwa lengo la kuwapa motisha wachezaji Yanga kuelekea mchezo wao wa ligi ya mabingwa Afrika utakaochezwa leo Februari 7 majira ya saa 4 usiku kwa saa za Afrika Masharika pale nchini Morocco.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Uhispania Yaifuata Ufuransa Nusu Fainali Kombe la Dunia

July 11, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

July 11, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Kijana Aliyepotea Misituni Arudi Nyumbani Baada ya Miaka 8
Next: Mwanamke Adai Kuolewa Mara Tatu Lakini Wote Waachana kwa Siku 30

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Habari Njema Kwa Matatizo Sugu ya Afya, Muone Dr Suleiman Kombo Anatibu kwa Tiba Asili

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.