
βMama yangu aliniambia nikatae kombe la AFCON. Rasmi nakataa kupokea kombe hilo na ninatumaini wachezaji wenzangu pia watafanya hivyo.β
βTulikuwa na nafasi ya kushinda lakini hatukufanikiwa. Hiyo ndiyo soka wakati mwingine unashinda na wakati mwingine unapoteza.β
Senegal πΈπ³ waliwashinda kwa haki na walistahili ushindi huo. Itakuwa si haki kuharibu furaha yao baada ya juhudi kubwa walioweka.β
βNinaheshimu uamuzi wa CAF lakini rasmi nakataa kombe hilo. Sikushinda AFCON 2025. Hongera tena kwa Senegal.β πΈπ³β€οΈ
β Achraf Hakimi akizungumza na Marca
