Hans Rafael: Mpanzu Hamfikii Pacome Kwenye Quality Uwanjani

MCHAMBUZI wa michezo Hans Rafael amesema kuwa “Jana niliulizwa swali kwamba pale Simba kuna mchezaji Mwenye quality ya Pacome?”

Nikajibu β€œhapana,Simba hawana mchezaji mwenye hiyo quality ingawa Mpanzu ana mfanano kidogo na Pacome ila hana quality ya Pacome hata Wana-Simba wanajua hilo”

“Pacome ni mwalimu wa mpira Tanzania ana X-Factor ya kuamua mechi kubwa na ndogo.”

Related Posts