Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Kenya Wafunguka “Tutaunga Mkono AFCON 2027 Endapo Ikihairishwa”
HABARI ZA MICHEZO

Kenya Wafunguka “Tutaunga Mkono AFCON 2027 Endapo Ikihairishwa”

February 13, 2026February 13, 2026 Udaku Special

Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya AFCON nchini Kenya imesema itaunga mkono kuahirishwa kwa michuano ya AFCON 2027 hadi mwaka 2028, kutokana na uwezekano wa vurugu zinazoweza kuhusiana na uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 2027.

Timu ya ukaguzi kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa sasa ipo Tanzania na inatarajia kufanya kikao kuhusu maandalizi ya michuano hiyo.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Patrick Vieira Atekuliwa Kuwa Kocha Mkuu Mpya wa Senegal

August 19, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Safari Ya Milioni 6 Za Fazi Cash Quest Imeanza

August 18, 2026August 18, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mwanamitindo wa TikTok afariki kwa kula sumu Akiwa Online
Next: Nilifanya Kazi kwa Bidii Kuliko Wengine Wote Lakini Niliendelea Kuwa Maskini Hadi Nilipofanya Hivi Ili Kufanikiwa

Popular Posts

  • Makala: Nashiriki Ngono na Wanaume 30 Per Day Nilishe Familia Yangu

  • DILI LAIVA MOROCCO: AS FAR Rabat Yaongeza Dau la Allan Okello, Yanga Yamweka Sokoni Baada ya Aziz Ki Kurejea

  • Yanga Yanasa Saini ya Aziz K, Kucheza na Shalulile Pale Mbele

  • Kocha Simba Asukuka Safu ya Ushambuliaji Kujibu Kipigo cha Yanga

  • Kwa Nini Marubani wa Ndege Hula Chakula Tofauti Wanapokuwa Safarini?

  • Hawa Ndio Wachezaji wa Yanga Waliokuwa Mwiba Kwa Simba

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.