Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Kenya Wafunguka “Tutaunga Mkono AFCON 2027 Endapo Ikihairishwa”
HABARI ZA MICHEZO

Kenya Wafunguka “Tutaunga Mkono AFCON 2027 Endapo Ikihairishwa”

February 13, 2026February 13, 2026 Udaku Special

Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya AFCON nchini Kenya imesema itaunga mkono kuahirishwa kwa michuano ya AFCON 2027 hadi mwaka 2028, kutokana na uwezekano wa vurugu zinazoweza kuhusiana na uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 2027.

Timu ya ukaguzi kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa sasa ipo Tanzania na inatarajia kufanya kikao kuhusu maandalizi ya michuano hiyo.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Best Football Leagues in Africa | Ligi Bora Africa 2025/2026

March 26, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Djigui Diarra, Bissouma na Nyota Wengine Waachwa Kikosi cha Mali

March 26, 2026March 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mwanamitindo wa TikTok afariki kwa kula sumu Akiwa Online
Next: Nilifanya Kazi kwa Bidii Kuliko Wengine Wote Lakini Niliendelea Kuwa Maskini Hadi Nilipofanya Hivi Ili Kufanikiwa

Popular Posts

  • Mbinu 5 za Kumfanya Mwanaume Ageuke Kuwa Sumaku Kwa Wanawake

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Wastara Amlipua Vibaya Dudu Baya Baada ya Kumuita “Ombaomba” Amwambia haya mazito “uweke na namba”

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Basata Wamfungia Miaka Mitatu Mwanamuziki Halima wa Kibao Kata

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.