Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani
HABARI ZA MICHEZO

Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako

Klabu ya Simba SC wamekamilisha usajili na kumrejesha klabuni hapo Kiungo wa Kati Clatous Chota Chama ‘Tripple C’ kutoka klabu ya Singida Black Stars.

Chama anatarajiwa kuwa sehemu ya wachezaji 22 pamoja na benchi la ufundi ambao wataondoka kesho jumatano Januari 21, kuelekea nchini Tunisia kuwakabili Esperance katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

KIpaa Diarra Afungiwa Michezo Mitatu na Faini ya Tsh Milioni 4

March 27, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Refa Ashushwa Daraja Kwa “KOSA” la Kutomwajibisha Kipa Diarra

March 27, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya
Next: Nilipoteza Kazi na Biashara Yangu Ilianguka—Nilijikuta Peke Yangu Shida, Hatua Moja Iliirudisha Bahati

Popular Posts

  • Mbinu Nzuri Ya Kutongoza Kwa Wale Wanaoanza Kujifunza

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Wachezaji Wa Simba SC Walioitwa Timu Zao Za Taifa

  • Basata Wamfungia Miaka Mitatu Mwanamuziki Halima wa Kibao Kata

  • TANZIA: Waziri William Lukuvi Afariki Dunia

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.