Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani
HABARI ZA MICHEZO

Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako

Klabu ya Simba SC wamekamilisha usajili na kumrejesha klabuni hapo Kiungo wa Kati Clatous Chota Chama ‘Tripple C’ kutoka klabu ya Singida Black Stars.

Chama anatarajiwa kuwa sehemu ya wachezaji 22 pamoja na benchi la ufundi ambao wataondoka kesho jumatano Januari 21, kuelekea nchini Tunisia kuwakabili Esperance katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Bingwa wa masumbwi Crawford kutoka Marekani atinga Hifadhi ya Taifa Tarangire

May 27, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

The Top 10 African clubs, CAF Club Ranking 2026

May 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya
Next: Nilipoteza Kazi na Biashara Yangu Ilianguka—Nilijikuta Peke Yangu Shida, Hatua Moja Iliirudisha Bahati

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

  • Mchungaji Maarufu Nchini Nigeria Awaomba Msamaha Mashabiki wa Arsenal Baada ya Utabiri wa Uongo

  • A to Z Tukio la KUTEKWA Kwa msaidizi wa Lissu! Mwenyewe Aelezea Ilivyokuwa”Walitaka Kunimaliza”

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.