Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani
HABARI ZA MICHEZO

Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako

Klabu ya Simba SC wamekamilisha usajili na kumrejesha klabuni hapo Kiungo wa Kati Clatous Chota Chama ‘Tripple C’ kutoka klabu ya Singida Black Stars.

Chama anatarajiwa kuwa sehemu ya wachezaji 22 pamoja na benchi la ufundi ambao wataondoka kesho jumatano Januari 21, kuelekea nchini Tunisia kuwakabili Esperance katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Yanga SC Yamtambulisha Rasmi Stephane Aziz Ki: Rejea Mfalme wa Jangwani

August 15, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Simba Yamtambulisha Ismail Mgunda Mbadala wa Mwalimu Seleman

August 15, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya
Next: Nilipoteza Kazi na Biashara Yangu Ilianguka—Nilijikuta Peke Yangu Shida, Hatua Moja Iliirudisha Bahati

Popular Posts

  • Tanasha amtembelea Zuchu! Afunguka haya mazito, Diamond atajwa, Aonyesha upendo,Ampa zawadi hizi

  • Makala: Nashiriki Ngono na Wanaume 30 Per Day Nilishe Familia Yangu

  • DILI LAIVA MOROCCO: AS FAR Rabat Yaongeza Dau la Allan Okello, Yanga Yamweka Sokoni Baada ya Aziz Ki Kurejea

  • Yanga Yanasa Saini ya Aziz K, Kucheza na Shalulile Pale Mbele

  • BREAKING NEWS: Yanga Yampiku Simba, Yamtambulisha Seleman Mwalimu ‘Gomez’

  • Mngqithi Afunguka Kipigo Kizito cha Yanga Siku ya Mwananchi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.