Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya
HABARI ZA MICHEZO

Mchezaji Aziz K Aondoka Wydad, Asajiliwa na Al-Ittihad ya Libya

January 21, 2026January 21, 2026 ajirayako

Klabu ya Al-Ittihad SC ya Libya imekamilisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kutoka Wydad Athletic Club baada ya kuinunua mkataba wake kwa kiasi cha USD 500,000 (takribani Tsh bilioni 1.2).

Kwa kukamilika kwa dili hilo, Stephane Aziz Ki sasa ni mali halali ya Al-Ittihad SC, hatua inayoongeza nguvu kubwa katika safu ya kiungo ya klabu hiyo.

Usajili huo unaashiria dhamira ya Al-Ittihad SC kuwekeza kwa wachezaji wenye ubora na uzoefu wa juu.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Bingwa wa masumbwi Crawford kutoka Marekani atinga Hifadhi ya Taifa Tarangire

May 27, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

The Top 10 African clubs, CAF Club Ranking 2026

May 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Rais wa zamani anaswa akidaiwa kupanga njama kumuua Kapteni Traore
Next: Klabu ya Simba Wamrejesha Clatous Chama Chamani

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Simba Akwea Kileleni, Chama Nyota Mechi ya 5 Mfululizo

  • Mchungaji Maarufu Nchini Nigeria Awaomba Msamaha Mashabiki wa Arsenal Baada ya Utabiri wa Uongo

  • A to Z Tukio la KUTEKWA Kwa msaidizi wa Lissu! Mwenyewe Aelezea Ilivyokuwa”Walitaka Kunimaliza”

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.