Lionel Messi Afunga Hat-Trick ya Kwanza Kombe la Dunia la FIFA 2026.

Lionel Messi
Lionel Messi

Lionel Messi Afunga Hat-Trick ya kwanza Kombe la Dunia la FIFA 2026.

Bao la 16 kwenye michuano ya Kombe la Dunia akifikia rekodi ya Miroslav Klose wa Ujerumani ambaye alikuwa kinara wa magoli kihistoria kwenye michuano hiyo.

Messi ameiandikia Argentina bao la tatu dhidi ya Algeria kwenye mchezo wa Kundi J wa kombe la Dunia la FIFA 2026

Argentina 🇦🇷 3-0 🇩🇿 Algeria
⚽ 17’ Messi
⚽ 60’ Messi
⚽ 76’ Messi

Related Posts