Liverpool Yashinda Jiooni, Wakati Chelsea Ikilala

Liverpool imeibuka na ushindi wa 3-2 nyumbani Anfield dhidi ya Atletico Madrid licha Marcos Llorente kuifungia Atletico Madrid magoli mawili kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Paris Saint-German ikiilaza Atalanta ya Italia 4-0 huko Parc des Princes, Paris Ufaransa

Kwingineko Chelsea imelala 3-1 dhidi ya Bayern Munich katika dimba la Allianz Arena, Jijini Munich huku Inter Milan ikiibamiza Ajax Amsterdam 2-0 katika dimba la Johan Cruijff Arena Jijini Amsterdam Uholanzi.

FT: Liverpool ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 3-2 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Atletico Madrid
โšฝ 04โ€™ Robertson
โšฝ 06โ€™ Salah
โšฝ 90+2โ€™ van Dijk

โšฝ 45+3โ€™ Llorente
โšฝ 81โ€™ Llorente

FT: Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 3-1 ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea
โšฝ 20โ€™ Chalobah (og)
โšฝ 26โ€™ Kane (P)
โšฝ63โ€™ Kane

โšฝ 29โ€™ Palmer

FT: PSG ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 4-0 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Atalanta
โšฝ 03โ€™ Marquinhos
โšฝ 39โ€™ Kvaratskhelia
โšฝ 51โ€™ Mendes
โšฝ 90+1โ€™ Ramos

FT: Ajax ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ 0-2 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Inter Milan
โšฝ 42โ€™ Thuram
โšฝ 47โ€™ Thuram

Related Posts