Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • Sports News
  • Mambo Magumu Jangwani, Yanga Yamtimua Kocha Romain Folz
Sports News

Mambo Magumu Jangwani, Yanga Yamtimua Kocha Romain Folz

October 19, 2025October 19, 2025 ajirayako

Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz.

Uamuzi huo umekuja saa chache baada ya kupoteza mchezo kwa kufungwa ugenini na Silver Strikers bao 1-0 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Folz raia wa Ufaransa alijiunga na Wanajangwani hao, Julai, 2025 akitokea klabu ya Olympique Akbou ya Algeria ambako alikuwa Mkurugenzi wa Ufundi.

Kocha Romuald Rakotondrabe kutoka Madagascar anatajwa kuwa ndiye atakayechukua nafasi ya Mfaransa huyo

Related Posts

HABARI ZA SIASA Sports News

Taarifa Mpya Kutoka Bungeni Kuhusu Waziri Mkuu Mpya wa Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako
Sports News

Huyu Hapa Golikipa Mwenye Mafanikio zaidi Tanzania

November 12, 2025November 12, 2025 ajirayako

Post navigation

Previous: Yanga Yapigwa Malawi Ligi ya Mabingwa CAF
Next: Kifo cha Raila Odinga Chatikisa Kenya, Aagwa Kishujaa, Haijawahi Kutokea, Atakumbukwa kwa Mengi

Popular Posts

  • Dudu Baya Akinukisha Teana Baada ya Kuona Video ya Mkubwa Fela na Mkewe

  • Simba Wamsajili Beki wa Pembeni wa Yanga Nickson Kibabage

  • Arsène Wenger “Africa Nzima ilikuwa Dhidi ya Morocco”

  • Polisi Wadaiwa Kuzingira Nyumba ya Bibi Wine Mgombea Urais Uganda

  • BREAKING; CAF Yamsimamisha Kazi Kocha wa Senegal

  • Rais Museveni wa Uganda Amteua Binti yake Bi. Natasha Museveni kuwa Gavana wa Benki Kuu

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.