Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Mchezaji Duchu wa SIMBA Apigwa Faini Kisa Ushirikina
HABARI ZA MICHEZO

Mchezaji Duchu wa SIMBA Apigwa Faini Kisa Ushirikina

March 6, 2026 Udaku Special

Mchezaji David Kameta wa klabu ya Simba ametozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kuonekana akimwaga kimiminika kiwanjani wakati timu hiyo ilipozuru uwanja dakika chache baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Amaan, kitendo kilichotafsiriwa kama Imani za kishirikina.

Adhabu hii ni kwa mujibu wa Kanuni ya 41:5(5.5) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Wachezaji.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Serikali ya Morocco Yakanusha Uvumi wa ‘Kuikataa’ Afrika

July 10, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Ufaransa Yaitandika Morocco 2-0 na Kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

July 10, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Rais wa Ukraine Zelenskyy “Marekani Imeniomba Msaada Dhidi ya Drones za Iran”
Next: Mwamuzi Aliyekataa GOLI la Simba Dhidi ya Yanga Afungiwa Miezi Sita

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Habari Njema Kwa Matatizo Sugu ya Afya, Muone Dr Suleiman Kombo Anatibu kwa Tiba Asili

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.