Mufti Afafanua EDA ya Rais Samia Baada ya Kufiwa na Mumewe

Mufti Afafanua EDA ya Rais Samia Baada ya Kufiwa na Mumewe
Mufti Afafanua EDA ya Rais Samia Baada ya Kufiwa na Mumewe

Mufti Afafanua EDA ya Rais Samia Baada ya Kufiwa na Mumewe

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anaweza kuendelea kutekeleza majukumu muhimu ya Kitaifa licha ya kuwa katika kipindi cha eda baada ya kufiwa na Mumewe, Hafidh Ameir Hassan.

Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo leo Septemba 9, 2026 Jijini Dar es salaam, Mufti Zubeir amesema kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, Mwanamke aliyefiwa na Mume anatakiwa kukaa eda, hivyo sharti hilo linamhusu pia Rais Samia.

Mufti Zubeir amesema nafasi au wadhifa wa Mtu katika Jamii hauondoi masharti ya kidini yanayomhusu kama Muislamu, hivyo licha ya Rais Samia kuwa Mkuu wa Nchi mwenye majukumu ya Kitaifa, suala la eda linapaswa kuzingatiwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.

ALSO READ | Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

Related Posts