Mukwala Atupia Mawili Simba Akitafuna Viporo Vyote Vinne

Steven Mukwala amefunga magoli mawili na kufikisha jumla ya magoli 11 kwenye Ligi Kuu bara wakati Simba Sc ikitafuna viporo vyote vinne ikiitandika KMC Fc bao 2-1 katika dimba la KMC Complex.

Simba Sc imesogea mpaka pointi 1 nyuma ya vinara Yanga Sc wakifikisha pointi 69 baada ya mechi 26 huku Wananchi wakiwa na pointi 70 baada ya mechi 26.

FT’ KMC Fc 1-2 Simba Sc

⚽ 08’ Chambo

⚽ 15’ Mukwala

⚽ 47’ Mukwala

MSIMAMO NBCPL

🥇 Yanga SC — mechi 26 — pointi 70

🥈 Simba SC — mechi 26 — pointi 69

🥉 Azam FC — mechi 27 — pointi 54

4️⃣ Singida — mechi 27 — pointi 53

✍️ Nyota wa mchezo wa leo ni Joshua Mutale ‘Budo’

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *