SIMPLE kwasasa ni ngumu kukabiliana na Yanga yenye Chama & Pacome : wanaifanikisha timu kufika kwenye eneo la mwisho kwa urahisi sana .

Utulivu wakiwa na mpira , Pasia mpira kwa usahihi , shambulia nafasi vizuri ukiwa na mpira na bila mpira then hakikisha unatumia nafasi vizuri ( Rahisi tu Chama angetoka na Hattrick leo )

Huu mnara wa 5G kwa Yanga umekuwa back to back kwa Wananchi 🔰

DARASA KWENYE KIUNGO 🔥

Salum Sure Boy ( BABU KAJU ) anatoa darasa kwenye kiungo : Pasia mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi then hakikisha kabla ujapokea mpira ujue wapi mpira unaelekea 👏 ubora wa kuscan nafasi .

Kwenye dakika 45 za kwanza nafikiri ndio mchezaji aliyepiga pasi nyingi sahihi kwenye mchezo huu ….. Hii Comb ya Chama na Pacome 🔥 wanashambulia nafasi vizuri sana ( Wides area & Half Spaces )

Maxi Nzegeli Mpia akiwa na mpira anajua kuulinda ✅ Physicality yake 👍


Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!

GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!

BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD.

Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *