Michezo Siasa Mwana FA Ateuliwa Kuwa Naibu Waziri Wa Utamaduni Sanaa Na Michezo February 26, 2023 Udaku Special Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Muheza Hamis Mohamed Mwinjuma maarufu Mwana FA kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Pauline Philipo Gekul ambaye amehamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria. Related Posts Siasa Kesi ya Geoffrey Mwambe na Polisi Inasikilizwa Leo Kisutu December 15, 2025December 15, 2025 Udaku Special Political News Siasa ACT Yapendekeza Mpina Agombee Urais wa Tanzania August 6, 2025August 6, 2025 Udaku Special