Nature

Samia Suluhu Hassan Amteuaji Jaji Mkuu Mpya wa Tanzania

Samia Suluhu Hassan Amteuaji Jaji Mkuu Mpya wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia_suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu waa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Masaju anachukua nafasi ya MheshimiwaProf. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu.

Uapisho wa Jaji Mkuu utafanyika tahere 15 Juni, 2025 Ikulu, Chamwino Dodoma kuanzia saa 4:00 asubuhi.

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *