Samia Suluhu Hassan Amteuaji Jaji Mkuu Mpya wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia_suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu waa Mahakama ya Tanzania. Mheshimiwa Masaju anachukua nafasi ya MheshimiwaProf. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu.
Uapisho wa Jaji Mkuu utafanyika tahere 15 Juni, 2025 Ikulu, Chamwino Dodoma kuanzia saa 4:00 asubuhi.
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.