Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Wananchi wa Senegal Wameanzisha Kampeni ya Kumchangia Kocha Faini
HABARI ZA MICHEZO

Wananchi wa Senegal Wameanzisha Kampeni ya Kumchangia Kocha Faini

January 30, 2026January 30, 2026 ajirayako

Wananchi wa Senegal wameanzisha kampeni ya kuchanga ili kulipa faini ya dola za Marekani 100,000 ($100,000) iliyopigwa kocha wao Pape Thiaw baada ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco.

Mpaka sasa, kampeni hiyo imeshakua na zaidi ya dola za Marekani $4,300 sawa na FCFA 2,400,000, Kwa shilingi za Kitanzania ni milioni 10.9

Hata hivyo Pape Thiaw amewashukuru na amewaomba michango hiyo wapewe watu wenye uhitaji.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Uhispania Yaifuata Ufuransa Nusu Fainali Kombe la Dunia

July 11, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

July 11, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Mume Wangu Aliniambukiza Ugonjwa Hii Ndiyo Njia Niliyomrejesha Mbele Ya Makosa Yake
Next: Kitambaa Cha Uchawi Nilichokipata Kiliibua Matukio Ambayo Nilikuwa Sikuweza Kuona

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI, Je Ina Madhara Kwa Binadamu?

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Habari Njema Kwa Matatizo Sugu ya Afya, Muone Dr Suleiman Kombo Anatibu kwa Tiba Asili

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.