Sasa ni Rasmi vilabu vya Tanzania Yanga na Simba zitakuwa pot moja ya pili Klabu Bingwa Afrika.
Hii ni baada ya Ligi ya Algeria kumalizika Jana na JS KABYLE kuizuia CR blouizdad kufuzu klabu Bingwa
Msimamo wa Ubora uko hivi:
1.Ahly✅️
2.Mamelodi✅️
3.Esperance✅️
4.Berkane✅️
5.Pyramids✅️
6.Simba✅️
7.Zamalek❌️
8.Wyda❌️
9.USMA❌️
10.CR Belouizdad❌️
11.Yanga✅️
12.Asec❌️
13.Al hilal✅️
Kwa hyo Pots 2 za kwanza zitakuwa hivi:
➡️POT 1
AHL 🇪🇬
MAMELODI 🇿🇦
ESPERANCE 🇹🇳
Berkane 🇲🇦
➡️POT 2
Pyramids 🇪🇬
Simba 🇹🇿
Yanga 🇹🇿
Hilal 🇸🇩
UFUNGUO:
✅️Zimefuzu Klabu Bingwa
❌️Hazijafuzu Klabu Bingwa
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.