OFFICIAL ✍️
➡️ Jean Charles Ahoua (23) 🇨🇮 amejiunga na CR Belouizdad 🇩🇿 akitokea Simba Sc 🇹🇿
✅ Ahoua amesaini mkataba wa miaka miwili na nusu ya kuitumikia klabu hiyo chini ya kocha wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic 🇩🇪
Rasmi klabu ya Simba imetangaza kuachana na nyota wake Jean Charles Ahoua na kumtakia kila la kheri katika safari yake mpya.
