Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi
HABARI ZA MICHEZO Sports Gossip

Elie Mpanzu Aitosa SIMBA Kambi ya Mazoezi

August 4, 2025August 4, 2025 Udaku Special

BREAKING 🚨: ELIE MPANZU HAJAWASILI MAZOEZINI.

Mpaka sasa Mchezaji wa Simba Mcongo Elie Mpanzu hajawasili kwenye kambi ya timu ya Simba iliyopo Pre-Season nchini Misri.

Mpanzu hajatoa taarifa yeyote kuhusu kuchelewa kwake kwenye kambi ya Pre-season.

Uongozi wa Simba unaendelea kufanya juhudi za kumtafuta ili aungane na wenzake kuelekea maandalizi ya Msimu Mpya

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Kocha wa Yanga Aishitaki Angola FIFA Kisa Mapene

March 13, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

IRAN Wamesisitiza Hakuma Mtu wa Kuwazuia Kucheza Kombe la Dunia

March 13, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Wananchi wa Jimbo la Kisesa Wamlilia Luhaga Mpina “Hatuoni Kosa Lolote Alilofanya”
Next: Nyota wa PSG, Achraf Hakimi Akabiliwa na Kesi ya Ubakaji

Popular Posts

  • Ripoti ya Ujasusi ya Marekani ilibaini Serikali ya IRAN Haiwezi Kuanguka hata ishambuliwe vipi!

  • Polisi Pwani Kuhusu Bawacha “Walikuwa Wanaenda Kutekeleza Uhalifu”

  • Iran yasema Uwezo wake wa Makombora ni Mkubwa kuliko ‘Maadui’ wanavyodhani

  • Yanga Yalalamika Kuhusu Adhabu na Makosa ya Waamuzi Ligi Kuu

  • Miaka 7 Jela kwa Kutumia Vyeti FEKI vya Marehemu

  • “Mpenzi Wangu Aliniambia Mimi si Mtamu, Maji Maji” Linda Kutoka Dar es Salaam Kulia Kwa Uchungu

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.