MSIONE KIMYA, NILIKUWA NAKUSANYA TAARIFA ZOTE KUTOKA KWA JASUSI WETU β¦ AISEEE NIMEPATA FILE ZITO KWELI KWELIππ½ππ½ππ½ππ½
Jasusi wetu ni zaidi ya CNN .. Imagine Leo kanitumia mpaka Sauti wachezaji wakikutakanana na Viongozi waoππ½
LEO NIACHIWE MTANDAO TAFADHALI
Picha Linaanza jana usiku kwenye Group la viongozi wakubwa wa Bodi, Rais wa Heshima kawauliza viongozi, Kwanini mechi ya Mwisho Yanga waliocheza uwanja wa Mkapa Moshi mkubwa Mweusi ulionekana halafu ghafla wakatangaza kuhamia Zanzibar? Nini kilisababisha ule Moshi siku ile?
βRais wa Heshima kakasirika sana kaka, jana tafuta video uone aliondoka uwanjani mapema sana. Amewachana kuwa sasa hivi hii Timu huku ina viongozi wapigaji tu kwenye usajili Lakini hawana uchungu na Timu.. Hivi ninavyokwambia Hilo swali tangu jana mpaka muda huu halijajibiwa, Viongozi wengine wanapita tu kama wanaaga maitiβ
JASUSI ANAMWAGA UHONDO WAKUU ..ππ½ππ½ππ½ππ½
βKaka ngoja nikupe Ukweli ulivyo, Yule CEO inaonekana alipokea hela kwa mzamini wa Jezi ili adanganye kuwa Kanuni bado zinakataza kamari ili mzamini Mkuu atolewe.. Mzamini wa jezi kwa sababu mzigo umedoda sana stoo, akamseti CEO kuwa wako waislam watanunua hizi hizi jezi wakitoa kamari pale mbele, Itapush kidogo biashara
βSasa nyie mlivyoweka mdhamini wenu Mkuu ndio mambo Yametibuka. Hivi ninavyokwambia Mdhamini Mkuu wa huku kaandika barua kuwa HATOI TENA HELA ZA BONUS ZOTE ZA KIMKATABA mpaka apatiwe maelezo kwanini wao wamekosa kuonekana kwenye mashindano Makubwa
βWachezaji hao mnawaona hivyo wanadai Bonus ya mechi ya ugenini ya Kimataifa ile waloshinda nyingi na ya Ligi, ni kama wana kamgomo hivi.
βSasa nikuchekeshe, jana yule mwenyekiti wa Bodi na mahasira yake si kaenda vyumbani baada ya mechi kuwafokea wachezaji, Weeee Kala matusi ya nguoni mpaka kila mtu kaona aibu..β
JASUSI HAPOI LEOOOO β¦ππ½ππ½ππ½

