Askofu Gwajima na MapadriAskofu Gwajima na Mapadri

DAR: Kiongozi wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania (Kanisa la Ufufuo na Uzima), Askofu Josephat Gwajima, kupitia ukurasa wake wa Instagram Jana Juni 21, 2025, alisema alimtembelea na kumjulia hali Padri Kitima

Aliandika “Leo Tarehe 21 Juni 2025 nimepata nafasi ya kumtembelea na kumjulia hali Padre Dr Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).”

Askofu Gwajima ambaye mara ya mwisho alionekana akizungumza hadharani Juni 2, 2025 aliongeza “Namshukuru Mungu afya yake imeendelea kuimarika.”


Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!

GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!

BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD.

Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *