Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • CAF Yatoza Kenya Faini ya Milioni 127, Yaonya Kuhamishia Mechi Nje
HABARI ZA MICHEZO

CAF Yatoza Kenya Faini ya Milioni 127, Yaonya Kuhamishia Mechi Nje

August 14, 2025August 14, 2025 Udaku Special

Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) imeipiga Kenya faini ya dola 50,000 za Marekani (sawa na takribani TZS milioni 127.8) kutokana na makosa ya kiusalama yaliyojitokeza katika mchezo dhidi ya Morocco uliofanyika kwenye Uwanja wa Moi, Kasarani.

CAF imeonya kuwa iwapo kasoro hizo zitaendelea, mechi zijazo za timu ya taifa ya Kenya zinaweza kuhamishiwa nchini Uganda au Tanzania.

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Mtanzania Barka Seif Mpanda Aweka Historia, Asajiliwa Akademi ya Barcelona La Masia

June 11, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

New Online Casino in Tanzania with Over 1,000 Games

June 9, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Watu 25 Wafukiwa na Kifusi Shughuli za Ukarabati Mgodi Shinyanga – Video
Next: Serikali Yaomba Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Isisitishwe Kuonyeshwa Mubashara

Popular Posts

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Atajwa kuchukua nafasi ya Ahmed Ally Simba SC

  • Kocha Nabi Amchana Ukweli Huu Rais wa Yanga SC.

  • Polisi Zanzibar Watoa Hitimisho la Kifo cha Ashlee Robinson, Uchunguzi Wabaini Alijinyonga

  • Ukweli Kuhusu Tetesi za Mchezaji PACOME Kuondoka Yanga, Huu Ndio Ukweli

  • Fiorentina Yataka Kumsajili Kinara wa Mabao AFCON U-17 Dismas Athanasi

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.