Donald Trump: Mataifa 7 ya Afrika Marufuku Kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalopiga marufuku raia wa Mataifa 12 yakiwemo mataifa 7 ya Afrika kuingia nchini humo kwa kile walichokisema kuwa kufanya hivyo ni kulinda usalama wa Taifa la Marekani.

Mataifa ya Afrika yaliyopigwa marufuku hiyo ni pamoja na:๐Ÿ‘‡

Somalia
Sudan
Chad
Eritrea
Libya
Congo (Brazzaville)

Mataifa mengine 3 ya Afrika ambayo ni Burundi ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ
Sierra Leone ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฑ Togo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌya Burundi, yenyewe yatawekewa sehemu fulani ya vikwazo kuingia Marekani.

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *