Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo linalopiga marufuku raia wa Mataifa 12 yakiwemo mataifa 7 ya Afrika kuingia nchini humo kwa kile walichokisema kuwa kufanya hivyo ni kulinda usalama wa Taifa la Marekani.
Mataifa ya Afrika yaliyopigwa marufuku hiyo ni pamoja na:๐
Somalia
Sudan
Chad
Eritrea
Libya
Congo (Brazzaville)
Mataifa mengine 3 ya Afrika ambayo ni Burundi ๐ง๐ฎ
Sierra Leone ๐ธ๐ฑ Togo ๐น๐ฌya Burundi, yenyewe yatawekewa sehemu fulani ya vikwazo kuingia Marekani.
