Yanga itashinda Jumamosi Insha’Allah.
βMuhimu tusijiamini kupita kiasi ,wenzetu wana hasira na sisi na ukitazama kwa jicho pevu ni kama wamejipanga sana kwa hiyo derby!!
βTunachojivunia Wananchi ni Quality za Wachezaji wetu ,lakini hilo peke yake halitupi guarantee ya kushinda kwenye aina hizi za mechi.
βMungu akipenda nitakuwa kule majukwaa ya Popular wanapokaa Wanachama na Washabiki, kuhanikiza ushindi kwa Wachezaji wetuππ.β
Ameandika Haji Manara kwenye ukurasa wake wa Instagram.

