
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya ๐ฐ๐ชKenya Benni McCarthy anaamini kundi A ndio lilikuwa kundi la kifo, na katika kuthibitisha hilo, ๐น๐ฟTanzania itasimulia baada ya mchezo dhidi ya ๐ฒ๐ฆMorocco.
” Tanzania watapata kile tulichokipata sisi kwenye kundi la kifo, nahitaji majibu baada ya mchezo wao.”
- Benni McCarthy, Kocha mkuu wa Harambee Stars.
