HABARI ZA MICHEZO Soka Tanzania Mshahara Mpya wa Mchezaji Fei Toto Huku Azam ni Kufuru tupu December 11, 2024 Udaku Special Inaelezwa kuwa Azam FC inajiandaa kumpa mkataba mpya kiungo wao Feisal Salum ‘Fei Toto’ utakaomfanya adumu kwenye timu hiyo hadi mwaka 2028. Mkataba huo utamfanya nyota huyo awe analipwa mshahara wa USD 12,000 sawa na Tsh million 31 Kwa mwezi. Related Posts HABARI ZA MICHEZO Uchambuzi: Mambo 4 Yanga SC Inayopaswa Kuyarekebisha Dhidi ya Gaborone Mchezo wa Marudiano September 6, 2026 Udaku Special HABARI ZA MICHEZO Yanga Yaondoka Botswana na Sare, Mwalimu Aokoa Jahazi Dakika za Mwisho September 6, 2026September 6, 2026 Udaku Special