Mshambuliaji Prince Dube wa Yanga Apokea Offer Nono Kutoka Kwa Kaizer Chiefs

Mshambuliaji Prince Dube (29) amepokea ofa kutoka klabu ya Kaizer Chiefs kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao wa 2026-27 akitokea Young Africans SC

Bado hajasaini mkataba mpya wa Young Africans aliopatiwa kulingana na ofa zao na vipengele vyao vya kimkataba na mara kadhaa amefanya mazungumzo na klabu yake kuhusu mkataba mpya lakini hajatoa msimamo wake halisi mpaka sasa.

Related Posts