
Timu za Taifa za Brazil na Morocco zimefuzu hatua ya 32 bora kufuatia ushindi kwenye michezo ya raundi ya mwisho za hatua ya makundi, Brazil ikiilaza Scotland 3-0 huku Morocco ikiibamiza Haiti 4-2 kwenye michezo ya Kundi A.
Scotland imemaliza nafasi ya tatu kwenye Kundi A huku ikiwa na matumaini ya kufuzu hatua ya 32 bora kupitia nafasi ya mshindi bora wa nafasi ya tatu ya makundi βbest loserβ
FT: Scotland π΄σ §σ ’σ ³σ £σ ΄σ Ώ 0-3 π§π· Brazil
β½ 07β Vini Jr
β½ 45+3β Vini Jr
β½ 60β Cunha
FT: Morocco π²π¦ 4-2 ππΉ Haiti
β½ 39β Hakimi
β½ 45+1β Saibari
β½ 78β Rahimi
β½ 89β Yassine
β½ 10β Bono (OG)
β½ 43β Isidor
MSIMAMO KUNDI A
1. Brazil 7
2. Morocco 7
3. Scotland 3
4. Haiti 0
