TANZIA: Baba mzazi wa Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta, Mzee Ally Samatta amefariki dunia alfajiri ya leo katika makazi yake yaliyopo Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam.
Enzi za uhai wake Mzee Samatta aliwahi kuichezea timu ya taifa akivaa jezi namba 10.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji’un 🙏🏼
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.