
Yanga SC imeonyesha utayari wa kumuhitaji nyota Stepahanie Aziz Ki na wapo katika hatua nzuri za kukamilisha usajili huu.
Kwa sasa Yanga Sc X Aziz Ki wanachotaka kukifanya ni kuvunja mkataba wa Al Ittihad ya Libya.
Hii itakua suprise kwa Wananchi iliyoandaliwa na vigogo na matajiri zao.
Aziz Ki ameonyesha pia utayari wakurejea ndani ya Yanga SC.
