Wananchi, Young Africans Sc wameifuata JKT Tanzania kwenye nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kufuatia ushindi mnono wa 8-1 dhidi ya Stand United katika dimba la KMC Complex kwenye mchezo wa robo fainali.

Yanga Sc 8-1 Stand United

⚽ 16’ Aziz Ki

⚽ 20’ Kibabage

⚽ 32’ Chama

⚽ 39’ Chama

⚽ 51’ Aziz Ki

⚽ 60’ Aziz Ki

⚽ 63’ Aziz Ki

⚽ 87’ Musonda

⚽ 49’ Msenda

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *