Klabu ya 🇹🇿Yanga imebadilisha utaratibu wa wachezaji kuingia kambini baada ya kutolewa kwenye michuano ya Ligi ya mabingwa Barani Afrika na 🇩🇿MC Algers.

Yanga ilikuwa na utaratibu kwa wachezaji wake kukutana siku chache kabla ya mchezo wakitokea majumbani kwao na sasa watakuwa wakikaa kambini kwa muda wote.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *