
Shughuli ya imemalizika katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar huku wananchi, Young Africans Sc wakisukumizwa nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) baada ya Al Ahly kutoshana nguvu na AS Far Rabat kwa sare tasa licha ya Yanga Sc kushinda kwa kishindo.
AS Far Rabat wameungana na Al Ahly kwenye robo fainali ya michuano hiyo huku Yanga Sc ikiungana na Simba Sc, Azam FC na Singida Black Stars kurudi nyumbani baada ya timu zote kutoka Tanzania kuaga michuano ya CAF msimu huu.
FT: Yanga Sc πΉπΏ 3-0 π©πΏ JS Kabylie
β½ 36β Depu
β½ 63β Depu
β½ 66β Boka
FT: Al Ahly πͺπ¬ 0-0 π²π¦ FAR Rabat
MSIMAMO KUNDI B kwenye mabano (magoli ya kufunga na magoli ya kufungwa)
1.πͺπ¬ Al Ahly – pointi 10 (8-3)
2.π²π¦ FAR Rabat – pointi 9 (3-2)
3.πΉπΏ Yanga Sc – pointi 8 (5-4)
4.π©πΏ JS Kabylie – pointi 3 (1-8)
