Ubelgiji Hali Mbali Kombe la Dunia, Sare Mbili Mpaka Sasa Hakuna Ushindi

Ubelgiji Hali Mbali Kombe la Dunia, Sare Mbili Mpaka Sasa Hakuna Ushindi
Ubelgiji Hali Mbali Kombe la Dunia, Sare Mbili Mpaka Sasa Hakuna Ushindi

Timu ya Taifa ya Ubelgiji imeshindwa kupata ushindi kwenye mchezo wa pili mfululizo baada ya kutoshana nguvu kwa sare tasa dhidi ya Iran kwenye mchezo wa Kundi G wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.

Iran ipo kileleni mwa Kundi G alama mbili baada ya sare mbili huku Ubelgiji ikiwa nafasi ya pili baada ya sare mbili mfululizo.

FT: Belgium 🇧🇪 0-0 🇮🇷 Iran

Baadaye: saa 10:00 alfajiri
New Zealand 🇳🇿 Vs 🇪🇬 Egypt

Related Posts