Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake April 23
HABARI ZA SIASA

Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake April 23

April 22, 2026 Udaku Special
Jaji Chande Aulizwa Maswali Magumu na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Tume ya Uchunguzi
 

Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake tarehe 23 mwezi huu (Alhamisi) kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Othman Chande, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.

Tume hiyo imesema ripoti hiyo itakuwa msingi muhimu wa kutoa mwelekeo kuhusu matukio hayo.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Mahakama Yawaachia Huru Wachokonozi

June 8, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

Askofu wa Kanisa Katoliki Auawa Kwa Kupigwa Risasi Msumbiji

June 7, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Simba Yashuka CAF, Yanga Yapanda Viwango Afrika
Next: Jinsi Dereva wa Boda Boda Kutoka Moshi Alivyovunja Laana ya Muda Mrefu ya Familia Ambayo Ilikuwa Imewazuia Kwa Vizazi Vingi.

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Kazi ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Atajwa kuchukua nafasi ya Ahmed Ally Simba SC

  • Ali Kamwe Awaumbua Tena Simba? “Bus ni Used” Aonyesha Picha na Video Zingine Kuthibitisha, Adai haya

  • Polisi Zanzibar Watoa Hitimisho la Kifo cha Ashlee Robinson, Uchunguzi Wabaini Alijinyonga

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.