Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA SIASA
  • Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake April 23
HABARI ZA SIASA

Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake April 23

April 22, 2026 Udaku Special
Jaji Chande Aulizwa Maswali Magumu na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Tume ya Uchunguzi
 

Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake tarehe 23 mwezi huu (Alhamisi) kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Othman Chande, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.

Tume hiyo imesema ripoti hiyo itakuwa msingi muhimu wa kutoa mwelekeo kuhusu matukio hayo.

Related Posts

HABARI ZA SIASA

Rais Samia Aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai Ghasia za Uchaguzi Mkuu 2025

May 18, 2026 Udaku Special
HABARI ZA SIASA

ACT Wazalendo watangaza Baraza jipya la Mawaziri Kivuli

May 18, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Simba Yashuka CAF, Yanga Yapanda Viwango Afrika
Next: Jinsi Dereva wa Boda Boda Kutoka Moshi Alivyovunja Laana ya Muda Mrefu ya Familia Ambayo Ilikuwa Imewazuia Kwa Vizazi Vingi.

Popular Posts

  • Siri Yafichuka! Diamond Kutoka Kimapenzi na Dada wa Dodoma Aliyempatia Ua kwenye show? Zuchu vipi?

  • A Tanzanian Gold Dealer is the Prime Suspect in the Murder of University Student, Alice Rianga in Kenya

  • Yanga Awaamini Kilichotokea, Wapigwa Bao Tatu Kwa Mbili na Dodoma Jiji….

  • Okello Ampiku Pacome Zouzoua na Idd Selemani Kwenye Tuzo ya Mwezi

  • Jasinta Makwabe Aweka Wazi Aina ya Mwanaume Anayemtaka

  • Maoni kuhusu mwonekano wa Zuchu, mimba yatajwa

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.