Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed ally kupitia ukurasa wake wa instragram ameandika

“Msipotangaza Uwanja wa mechi, Bodi ya Ligi itatangaza

Msipotangaza Viingilio, Bodi ya Ligi itatangaza na sisi tutanunua

Msipofanya Promotions, Azam Tv watafanya na wameshaaanza kufanya

Msipokodi Uwanja, Bodi ya Ligi itakodi na ila Gharama za Uwanja mtalipa nyie.

Kanuni zinaipa nguvu bodi ya Ligi kufanya yote hata kama mwenyeji wa mechi anadema demaa

Mashabiki wenu wakisusa, wetu watakuja na tayari Mashabiki wetu zaidi ya Elfu 10 walishanunua Tiketi

Wanetu mmekalia moto… !!!”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *