Aziz Ki Amkubali Okello “Ni Mchezaji wa Daraja la Juu, Yanga Walifanya Kazi Kubwa”

Aziz Ki Amkubali Okello "Ni Mchezaji wa Daraja la Juu, Yanga Walifanya Kazi Kubwa"
Aziz Ki Amkubali Okello “Ni Mchezaji wa Daraja la Juu, Yanga Walifanya Kazi Kubwa”

Stephane Aziz Ki Afungua: “Ukiniuliza kilichonifurahisha zaidi, ni kuona Yanga ikitetea ubingwa wake. Lakini pia, kiwango cha Okello kimenikosha sana—ni mchezaji wa daraja la juu!

Nimependa jinsi anavyotumia mguu wa kushoto kama mimi; anafunga na kutengeneza nafasi za wazi. Viongozi na klabu yangu ya zamani walifanya kazi kubwa sana kuleta mchezaji mwenye kipaji kikubwa kisicho na shaka.”

Related Posts