Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • Bondia Anthony Joshua Amchapa TKO Bondia Jake Paul u
HABARI ZA MICHEZO

Bondia Anthony Joshua Amchapa TKO Bondia Jake Paul u

December 20, 2025December 20, 2025 ajirayako

Bondia Anthony Joshua ameendelea kuikumbusha Dunia juuu ya uwezo wake , hii mi baada ya kumshinda Jake Paul kwa TKO , kwenye raundi ya sita ya pambano lililofanyika usiku wa Ijumaa, Desemba 19, 2025, kwenye uwanja wa Kaseya Center mjini Miami, Florida.

Joshua, ambaye ni bingwa wa uzito wa juu, alikuwa na kiwango bora sana na kufanya iwe ngumu kwa Paul kummudu tangu raundi za mwanzoni na hatimae kulamba mchanga raund ya 6

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Joshua Aibuka Shujaa, Amwangusha Prenga Baada ya Kuanza Vibaya

July 26, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Sakata la Simba na Wydad Kuhusu Mchezaji Seleman Mwalimu Bado Kizungumkuti

July 26, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: CAF Yamteua Eng Hersi Saidi Kuwa Mzungumzaji AFCON Morocco
Next: Jinsi Mwanasiasa Mpya Anaweza Kujijenga na Kupata Umaarufu Bila Pesa Nyingi

Popular Posts

  • Ukweli Kuhusu Tukio la Ndege Iliyopotea Angani na Kurudi Tena Duniani Baada Ya Miaka 35

  • Timu ya Mamelodi Sundowns Wamtaka Elie Mpanzu wa Simba

  • Yanga Yawatambulisha Mihambo na Abdulnassir ‘Gamal’ Kutoka Mashujaa

  • Yanga SC Wachezaji Wageni Wanabaki Hawa tu Wengine Wote Wanatemwa

  • Rais wa Laliga Amtaka Rais wa FIFA Ajiuzulu

  • Balaa! Harusi ya Monalisa katoro ni zaidi ya Sendoff, Pesa zamwagwa, Magari, Pol Brand aonyesha

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.