Kiungo Feisal Salum wa Azam FC Feisal Salum ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa msimu wa Kombe la Shirikisho akiwashinda Clement Mzize (Yanga), Aziz Ki (Yanga SC), Ibrahim Bacca (Yanga) na Kipre Junior (Azam FC).
Habari Mbali Mbali za Udaku, Michezo na Siasa Kutoka Tanzania
Kiungo Feisal Salum wa Azam FC Feisal Salum ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa msimu wa Kombe la Shirikisho akiwashinda Clement Mzize (Yanga), Aziz Ki (Yanga SC), Ibrahim Bacca (Yanga) na Kipre Junior (Azam FC).