Fiston Mayele, Aziz K Biashara Iliyokuwa na Faida Kubwa Yanga…

Nafikiri Fiston Mayele na Stephane Aziz Ki ndio wachezaji ambao walibeba project ya Yanga kwenye miaka mitatu ya mwisho : Kipindi Mayele yupo Yanga timu yote ilikuwa mabegani kwake ( Kama hatofunga basi atatoa pasi ya goli )

Baada ya Fiston kuondoka , Aziz Ki ndio akawa β€œTop Man” kwa Wananchi πŸ”₯ Yaani timu inacheza kwa kumzunguka yeye ( Kuanzia kutengeneza nafasi na kufunga magoli β€œG/A” ) .

Wachezaji wote wameondoka Yanga na kwenda kwenye Top teams Afrika : Fiston ameenda Pyramid na msimu huu anacheza fainali ya CAFCL then Aziz Ki ameenda Wydad ambao ni mabingwa mara tatu wa CAFCL .

Hapa Wananchi walifanya Scout nzuri sana πŸ‘ Hela ambayo wamepokea kutoka kwa hawa nyota wawili ni zaidi ya pesa waliotoa kuwanunulia

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *