KIMEUMANA: Wenyeji Marekani Watupwa nje ya Mashindano Kombe la Dunia

KIMEUMANA: Wenyeji Marekani Watupwa nje ya Mashindano Kombe la Dunia
KIMEUMANA: Wenyeji Marekani Watupwa nje ya Mashindano Kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Ubelgiji β€˜The Red Devils’ imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji wenza wa michuano hiyo, Marekani katika dimba la Seattle, Washington kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora.

Ubelgiji itachuana na Uhispania kwenye hatua ya robo fainali, Uhispania ikitinga hatua baada ya kuisukumiza nje Ureno kwenye hatua ya 16 bora.

FT: USA πŸ‡ΊπŸ‡Έ 1-4 πŸ‡§πŸ‡ͺ Belgium
⚽ 31’ Tillman
⚽ 09’ De Ketelaere
⚽ 33’ De Ketelaere
⚽ 58’ Vanaken
⚽ 90+3’ Lukaku

Related Posts