Kocha wa Yanga SC Miguel Gamondi Raia wa Argentina ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu kwa kuwashinda Bruno Ferry wa Azam FC na David Ouma wa Coastal Union katika usiku wa Tuzo za TFF zinazotolewa usiku huu Jijini Dar es salaam
Habari Mbali Mbali za Udaku, Michezo na Siasa Kutoka Tanzania
Kocha wa Yanga SC Miguel Gamondi Raia wa Argentina ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu kwa kuwashinda Bruno Ferry wa Azam FC na David Ouma wa Coastal Union katika usiku wa Tuzo za TFF zinazotolewa usiku huu Jijini Dar es salaam