
Kylian Mbappe amefunga magoli mawili wakati Ufaransa ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Simba wa Teranga, Senegal kwenye mchezo wa Kundi I wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.
FT: France π«π· 3-1 πΈπ³ Senegal
β½ 66β Mbappe (π
°οΈ Olise)
β½ 82β Barcola (π
°οΈ Rabiot)
β½ 90+6β Mbappe
β½ 90+5β Mbaye
