Kylian Mbappe Awafunga Mdomo, Atupia Mawili France Ikiichapa Senegal

Kylian Mbappe
Kylian Mbappe

Kylian Mbappe amefunga magoli mawili wakati Ufaransa ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Simba wa Teranga, Senegal kwenye mchezo wa Kundi I wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.

FT: France πŸ‡«πŸ‡· 3-1 πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal
⚽ 66’ Mbappe (πŸ…°οΈ Olise)
⚽ 82’ Barcola (πŸ…°οΈ Rabiot)
⚽ 90+6’ Mbappe

⚽ 90+5’ Mbaye

Related Posts