
Kylian Mbappe amefunga magoli mawili wakati Ufaransa ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Simba wa Teranga, Senegal kwenye mchezo wa Kundi I wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.
FT: France 🇫🇷 3-1 🇸🇳 Senegal
⚽ 66’ Mbappe (🅰️ Olise)
⚽ 82’ Barcola (🅰️ Rabiot)
⚽ 90+6’ Mbappe
⚽ 90+5’ Mbaye
