Skip to content
UDAKU SPECIAL

UDAKU SPECIAL

Habari za Udaku, Michezo na Siasa

  • Home
  • Gossip News
  • Sports News
  • Political News
  • Articles
  • Love Affairs
  • Music
  • Health
  • Contact us
  • Home
  • HABARI ZA MICHEZO
  • MATOKEO Yanga Vs Azam, Ngoma Nzito Sana Dakika 90
HABARI ZA MICHEZO

MATOKEO Yanga Vs Azam, Ngoma Nzito Sana Dakika 90

March 15, 2026 Udaku Special
MATOKEO Yanga Vs Azam, Ngoma Nzito Sana
MATOKEO Yanga Vs Azam, Ngoma Nzito Sana

Shughuli pevu imemalizika katika dimba la Benjamin Mkapa kwenye Dabi ya Jiji la Dar es salaam, wenyeji, Azam FC wakitoshana nguvu kwa sare tasa dhidi ya Wananchi, Young Africans Sc kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara.

Wananchi wanaendelea kusalia kileleni alama 36 baada ya mechi 14 huku Wanalambalamba wakikwea mpaka nafasi ya pili alama 28 baada ya mechi 14.

FT: AZAM FC 0-0 YANGA SC

FT: Mbeya City 1-4 Singida Black Stars

Related Posts

HABARI ZA MICHEZO

Shaffih Dauda Amtetea Doumbia ‘Anahitaji Subira, Siyo Presha’

September 14, 2026 Udaku Special
HABARI ZA MICHEZO

Mkiisifia Simba, Kumbukeni Singida Black Imemla Mtu Kichwa Mabao 10 – 1

September 14, 2026 Udaku Special

Post navigation

Previous: Jonathan Sowah Atoa Majibu Kuhusu Tuhuma Zinazomkabili Simba
Next: Tanzanian player turns Tsh 600 into Tsh 144 million on SportPesa Aviator- Tanzania’s biggest win ever

Popular Posts

  • Hii Hapa Faida ya Makalio Makubwa Kwa Mwanamke

  • Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH shariff majini Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

  • Hawa Hapa Majambazi Wenye AKILI Nyingi zaidi Kuwahi Kutokea Duniani

  • Manqoba Atoa Maagizo Mazito Yanga Dhidi ya Gaborone United

  • Watu Wanne Wafariki Kwenye Ajali ya Basi la Abood na IST Bunju

  • Nani Kuondoka na Ushindi Leo?

All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.