Mzize, Pacome na Dube Utatu Tishio Kwa Wapinzania Yanga

Huu utatu anaitendea haki “Heavy metal football” ya Ramovic

Huu utatu una kasi,ujuzi,uthubutu,nguvu ya kukimbia na kufanya pressing kisha unafunga na ku-assist

Huu utatu umegeuka shubiri kwa wapinzani

Kwenye mechi 5 za mwisho za Yanga huu utatu amefunga goli 14 kati ya 19 zilizofungwa na timu nzima

Halafu unaambiwa Maxi na Chama wamerejea….unaanza kujiuliza nani atakaa benchi kumpisha mwenzake🫢

Ukisikia maana halisi ya kikosi kipana basi ndio hii

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *