Tanzania Yachapwa na Kenya Kombe la Mapinduzi CUP

Tanzania Yachapwa na Kenya Kombe la Mapinduzi CUP

Tumu ya Taifa ya Tanzania Bara β€˜Kilimanjaro Stars’ imeaga mashindano ya Kombe la Mapinduzi kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya Kenya ikiwa ni ni kipigo cha pili mfululizo baada ya kuanza kwa kipigo cha 1-0 dhidi ya Zanzibar Heroes.

Hata hivyo Kilimanjaro Stars licha ya shughuli Yao kuishika hapa bado wana mchezo mmoja wa kukamilisha ratiba, dhidi ya Burkina Faso.
FT: TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 0-2 πŸ‡°πŸ‡ͺ KENYA
⚽ 56’ Boniface Muchiri
⚽ 68’ Ryan Ogam

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *